K
Bujibuji sijui kwanini kila nikiona avatar yako namkumbuka gilesi mwenye wowo matata…ha ha ha
K
Bujibuji sijui kwanini kila nikiona avatar yako namkumbuka gilesi mwenye wowo matata…ha ha ha
Hili joto lake ni upepo tu, muda utasema
Yaani Mkulu hanivutii hata nikimchora mwenyewe. Swala la kura hilo asahau labda pilisisiemu wamsaidie
Hicho ndicho kilichobaki kwa sasa kwa hao madhalimu
Joto la jiwe
Watu na mahaba yao
Mlete lee hapa
[quote=“Mwifwa, post:28, topic:163366”]
Mlete lee hapa
[/QUOTE
Ata sijui pa kumpata yaani ningemleta[/QUOTE]
hahahaaaa!!!
teynaaaa!!!
Msemo wa sky msio na mababe mbebe jiwe
hahahaaa!nambie shost
Poa shost wangu za toka jana
Huyu dingi katuchefua asee
Ahahahahahahah
Ukimuona mkamatee mgande mpaka nije kwanini aje bila kusemaaa
Cha muhimu tuelekezeni tupakue VPN soon mitandao itazimwa jamani
Hata mimi mwenyewe siijui, tuwaulize wanaojua
full kujiachia