Mzee wangu aliwahi kusoma Kenya na kwa bahati nzuri alizaa na binti mmoja wa huko.
Kabla ya kifo chake aliniambia nijitahidi kumtafuta huyu ndugu yangu.
Mara ya mwisho niliambia kuwa anapatikana maeneo ya Taveta.
Naomba kama wewe ni mtoto wa Walter Mmari ambae baada ya kutoka Kenya alipata kazi ya Ualimu hapa Tz tafadhali tutafutane.