I am in a police cell

utalala ndaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na uwekwe mjulubeng ndaniiiiiiiiiiiiiiiii

Mbona hamjatoa viatu, alafu how did the cops get hold of your laptop

Which cell exactly nione kama naeza kuletea maziwa brookside na mkate?

Imba kama Paulo na Sila. Milango itafunguka

:smiley:

Patia yeye ya ngamia, ndio apate Ferrari au Labogin :smiley:
@vuja de jamaa wa labogin alienda wapi?

https://m.popkey.co/4d37a0/Zozl_f-maxage-0.gif

Patia wao bond utoke alafu ambia wao mkutane kortini. Hakuna jaji ataskiza upuzi Kama huo especially if the song is available on YouTube. Ata hao wenyewe hawawezi karibia korti.Wanakutisha kwa sababu hujui sheria.

Police station gani?

Kikikikikik pea yeye charm moja iconfuse makarao wamwachilie

Maybe ni station mpya hii. Zile najua huwa na sakafu mbaya na bucket inaoverflow. Wewe utatoka monday. Pigia watu wako waongee na OCS.

Lakini mbona hii haina ile color ya whitish na navy blue ile ya makarao

last time nilikuwa cell,ati naambiwa nitoe 5k juu ya kuruka mataa…nikawaambia wanipeleke kortini nilipewa fine ya 2k

[ATTACH=full]164006[/ATTACH]
[ATTACH=full]164007[/ATTACH]

Na grafitti “sonko was hia 1998” :D:D:D Labda ameshikiwa kwa hizi patrol base zimejengwa na cdf/ county.

Hiyo afadhali nilipe kuliko kuwekwa kwa hiyo pigsty.

huyu jamaa ni wa ku-resist atakugonga nayo.

apigie orengo simu,si ulikuwa unaona vile alikuwa anachochea nipigwe mstari?@electronic4u ,kula ujeuri wako

Waah, iza bro…naskia hao washenzi wamekuwa active sana the past two weeks. Hapo ata sijui ntakusaidiaje, juu most people who get caught just part with a 2 to 5k bribe to be released. Wanatishianga mtu ati sijui utalipa cash bail ya 30k, alafu ati judge akikupata na makosa anaeza kugonga ata fine ya 500k, but it’s all designed to make you part with a bribe. Alafu there’re rumors that the guys could be conmen working in cahoots with police to extort, so my guess is ata hao hawataki hio kesi ifike kwa judge juu wataulizwa maswali pia waanze ku-stammer.
When all is said and done, even if you can afford to successfully challenge them, you’ll still end up wasting money and resources. All the best man.

Si mliwakata mshahara, corruption will be on the rise… Then again you are leaving some details, unafanya job gani? Ongea usaidike nikuje huko na suti. Get in their minds, use reverse physchology. They’ like’ rough people , jifanye soft uone ukitoka. Don’t talk much,let them give the first offer

on a serious note @Chief if you are in distress inbox details tuone vile tutakusaidia.