Huyu jamaa ako wapi siku hizi ?

Naona huyu mzee nderitu njoka wa maendeleo ya wanaume alipioneer biashara ya redpill na mgtow kitambo sana then he disappeared.

https://www.youtube.com/watch?v=3mKDisO3zDY

Watu wakiomokanga they retreat to a quieter lifestyle kukula change polepole bila Kusumbuliwa na hecklers kama @uwesmake kama vile Pastor Muiru anavyonyonya Sadaka ya Bonobos mos mos.

Hakuna sadaka yenye pius anamumunya.Alichapwa na stroke na ako na arthritis.Saa hizi ana hang kwa coat tails za prophet ezekiel angalau apate ya supper daily.

Huyo jamaa ni @gikuyu

ndio nimelipa madha @PHARMACY 45 bob mlolongo kwa brothel after shot mbili . @PHARMACY kesho huwezi lala njaa , sembe itakuwa kwa menu . sembe na maembe