Huyu Atatoboa Kweli ?

Lempurkel. Navyenye naskiaga akubwa huwa na magonjwa mingi kuliko Pandora’s box

[ATTACH=full]396472[/ATTACH]

Lakini mbona kajamaa kana hatred mingi hivyo.

Na hapa kwa punishment nini huendelea?

[ATTACH=full]396487[/ATTACH]

Sijui,labda tuulize @kah tony ,amezoea kuwa guest wa state every now and then

You carry a bucket of shit on your head while wardens whip you.

:smiley: :smiley: :smiley: Lakini d-minus hukuwa sadists

rustlers hatutambui imprisonment tumezoea kuumia kapedo caves . @Gaza .

lets normalize jailing powerful people

Sijui huyo lakini @kabudah anakaa kuwa na experience ya maisha ngumu. Tell u more elder kabudah

:D:D:D Leta hekaya za huku msee. Niliona pale Inooro watu wa “Condem” ukaa kwa cell for more than 23 and half hours! Yaani wakitolewa huko wamix na general population wadondoka ngozi kama nyoka.

LEta hiyo link

Iko pale YouTube channel ya Inooro. I will try to get it

@rexxsimba comment?