Huyu alienda kukufia mbele

:D:D:D

[MEDIA=twitter]1334406870904107008[/MEDIA]

:D:D:D Yani anawekelewa mtungi ya gas kichwa na bado ameweza kuamka na kukuimbia…aiii!

Hii kitu tulichambua ages ago

:D:D:D:D

hiyo ni ile mbio ya kifo, am sure the guy is dead or dying wherever he is

Maze!!! Kwanza mtungi ya 13kg.:D:D:D Ingekuwa mimi ningekaa chini niombee maji kwanza.
ION, mimi hupenda videos kama hizi YouTube. Za wezi kugeuziwa. I can watch them for hours on end.

Holy shit :D:D:D

ni empty hio
jama aliinua kwa urahisi

either way, jamaa alikufia mbele

Hii tulichambua just before USA waangushe nuclear bombs pale Hiroshima and Nagasaki.

:D:D:D Guy with the cylinder took his time kupima vizuri to ensure there was no collateral. Kisha akadunga bullseye. Hata jamaa wake getaway wa nduthi ameona huyu ni walking dead amehepa

Swish

Damn kama huyo mtu ako hai anahubiri injili ya paulo

Link?