hustler anakuja nairobi

When mr ruto said he was standing for president i was so happy and jovial, i took my mother to the voting station and we just closed our eyes and voted uda bila kusoma majina.

Nilikutana na my exe girlfriend hapo kwa gate alikuwa agent wa mtu fulani wa azimio, akanifungia jicho nisupport mtu yake nikwamwambia eeh, lakini ilikuwa maurongo.

Siku hizi namwambianga beby si ufanye hivo hata skati hawezi ikuwa hata 1 centimeter, nililewa kiherehere yangu ikafanya askie sikupatia mtu hata mmoja wa asimio kula.
Sasa hasla amekaukia kijiji nimechomeka na hiyo jua yote kumenyamaza tu juu tunaachangwa peke yake na kuku ata bibi sijui anafanyanga kazi wapi, anaingianga saa moja jioni na manyeni.

Niko hapa kiricho side za nyeri kama unaelekea nyanyuki, nataka kuhudhuria hiyo protest ya baba on monday kama kuna mtu wa asimio anaweza nihost i promise nitaenda hata hiyo ingine ya thursday.
Last time nilikuwa nimekuja Nairobi ni 2017 najua tea room na hiyo choo ya kanju siwezi potea sana, kule siwezi jua ni hiyo barabara ya juu imepitia neno kwa pastor wangu wa tv nganga.

Mimi munisamehe juu sikushagua ojinga ni vile kanisa ilitwambia mke wa ruto ni muombaji mungu na raila na bibi wake hawaendangi kanisa hawapendi mungu.

Mungu ametufungua macho sisi wakikuyu, imagine raila anashida siku yote akiongea na wananchi wapendwa huko mathare, huruma na kwingineko.

Msindanganywe na mutu ati sisi wakikuyu tunajua biashara, sisi ni stock tu tunajua kuweka, alafu msomali na muhindi wako mbele yetu sasa.

Msalimie sis yangu shiko, yeye hufanywa kazi restaurant ingine kubwa inaitwa ravers i think iko hapo duruma road, jiji la Nairobi.

Looking forward to meet babu awino, mother karua, junet Mohammed na sifuna mwenyewe live live.

See you there, :heart::heart::heart::heart::heart:, nampenda sana…

Tukutane Monday.

Hio ni barua umeandikia elders :D:D

Ungemalizia na “Ni mimi wenu kayneti”

Kumbe wewe ni MTU wa Kirichu village?

Aiyaya wewe ni wa hio kijiji, nakujanga kuchafua huko kuanzia FK, Bantu Africa, hio mupya ya white na za Chaka wananijua sana. Nitakuita tukule kanyama nikipitia huko

Nampenda sana… Only a reak kiuk says that.

:D:D:Dgood shit. Kenya’s Chinua Achebe!

karibu kanairo

:D:D:D