Hujuma hapa Galleria

Nimekuja kufanya shopping while at it nika feel ku ndechu.
Mimi huyo hadi gents nikarelieve.Saa ya kuwipe the shithole napata this kind of tissue.

[ATTACH=full]160882[/ATTACH]

Hii ni ya kupanguza wapi jameni

Hehehehe. This ain’t happening

Halafu utatoka hapo inje unawe na maji… Time kwa choo umepanguza matako ya mavi na karatasi…

Question: kati ya matako ya mavi, na mikono yako… Gani chafu zaidi

:D:D:D hio ni ya mikono

na hiyo mcoosh yako huwa unosha na maji si ndio iko na vidonda?

Hujuma hiyo hapo…nimewachia management feedback

sign in Italics Kimakia was Here 3/4/18 kwa wall :smiley:

Panguza tu nayo na uende. Kuna Mtu wenyu ushago anapiga hesabu Ya matawi Ama mSogoro…

Boss si mtu hufanya feasibility study before starting a project

:D:DHuyu alinunua shamba bila kusearch

due diligence ni muhimu…shitty post

:D:D

izi vitu ndo wameeka two rivers pia alafu ni ndogo sana…ilibidii nichukue tens of them nitumie hujuma sana

Wama-tissue akishaongea comments zinafaa zifungwe

:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D

Hiyo ya msogoro nayo weee

Weweee umeingia ladies by mistake

Wewe hujazoea kutumia tissue, chukua people daily ile umezoea. Kila mtu hapa anajua huwezi tumia tissue square moja, lazma uzungushe mara kadhaa ama uzipile up kiasi

Ulipanguza bowl na nini boss?

Hizo tu.nilizishikanisha mingi.Kazi ngumu lakini