Intel-Core-i7-7700HQ 7th Gen, NVIDIA GeForce GTX 1070 (Laptop) - 8192MB, 16GB RAM, 17.3 inch 16:9, 1920 x 1080 pixel 127 PPI
Mwenye ana hii aniquotie.
nasikia ukibuy kenya utapewa double the price ya Amazon
you are better importing hii. Mkenya atkugonga vizuri
If that posta-Amazon deal comes through, these kenyan quacks are screwed. Mambo ya kutushikanisha inaisha
Bado nacompare prices.Zenye napata ni 1050 ti.
xgamertechnologies munasikia??
mutaacha kutugonga
we need that cleanup badly
Ni lazima hp Omen Buda. Expand on price ongeza Dell Na Asus hapo and you’ll be spoilt for choice
Nipee zingine basi Asus labda.
What’s your budget btw
Sijui kwanini link inakataa. Tafuta hii
[ATTACH=full]205945[/ATTACH]
How much?
ungeacha hiyo link
[ATTACH=full]205996[/ATTACH]
@Deorro Naweza get hizo specs na 120k?
Maybe during black Friday. Kwanza inakuwanga lini?
Kuna app inaitwa Slickdeals where deals on various goods are posted. Hii liwekwa Jana[ATTACH=full]206000[/ATTACH]
[ATTACH=full]206005[/ATTACH][ATTACH=full]206006[/ATTACH]
Hiyo hustle ya kuship ndio nakwepa.Anyway thanks mkubwa.
I have this exact laptop… Bought it here in Nairobi.
how much?