How to get rid of rats..elders saidieni

moved to a house in ocha that had rats and seems they’re multiplying daily. Give me a good solution

4 Likes

Tafuta ile glue ya kitabu. As long as ukiipata imekwama hapo hautaogopa kugonga kichwa na kuitoa

5 Likes

is that a permanent solution?

Tafuta 6 black cats . Black cats huwa dawa ya panya

1 Like

Ukiua hizo kubwa ndo muhimu. You can supplement na dawa. Shida ya dawa ni penye zitakufia uwaweza kosa kujua na uvundo itakumalizia kwa hiyo nyumba.

8 Likes

Spread copious amounts of cayenne pepper around their common paths. Rats get around by their sense of smell. The pepper operates to irritate their primary mode of manouvering about. Halafu pia Kuna Ile poison yenye zikikula inakausha miili Yao. Talk to your local agrovet about your options.

7 Likes

nilikuwa nimeweka ikashika ndogo..na dawa zitakufia kwa wall ndio maana naavoid

3 Likes

Indomethacin ile ya one bob? hio nimeweka kutoka forever kwa unga and seems they’re too many..sikuona ikiwork

1 Like

Rats ni bad news

2 Likes

You could get rat poison. Mostly zinauzwa kwa streets. It works. Be cautious since rats reach sexual maturity after nine weeks, meaning that a population can swell from two rats to around 1,250 in one year, with the potential to grow exponentially.

9 Likes

sikuwa nataka zikufie kwa walls

2 Likes

Ultimately paka ndio dawa

In the meantime but pain killer inaitwa indocile ya watu. Ensure hakuna maji karibu

1 Like

Fuga paka.
Wakisikia harufu ya jasho ya paka hawakaangi

13 Likes

Capture a rat, torture and rape it infront of other rats. Hang its carcus at the door to serve as a reminder to other rats.
Thats how you establish dominance in new territory.

17 Likes

Kuna ingine unakuja kama block unavunja pieces ndogo ndogo halafu unaweka kwa their usual paths. It works as a blood coagulant hence hakuna harufu.

2 Likes

name?

Why do you have hollow walls?

1 Like

Kwa ofisi kuna ka panya kadogo niliona kamepitia kwa mlango kwa kale ka space.. hapo down…nkasema sitakaua. Nilikawekea food kakakula kakanona sahi hakawezi pitia kwa hio mwanya.. hivo ndio kaliwacha kunitembelea… ubeste ikaisha.

12 Likes

Usafi kwanza hizo kelele hapo juu haitasaidia.Keep your house tidy,any left over food must be covered.
Fyekka compound na uchome grass and dead leaves.Anyway very soon snakes will be your other worry.

10 Likes

kijiji lazima uzoee panya. When i go to the village, i ofund my house is used to store maize. The rats dance all night in the celing after stealing maize in the bags. Hizo ni sauti za kijiji. During the dry season they move into the grass and become super agressive from eating dry greass. Ukilala bila kuoga mdomo utarambwa hadi mapua. They also love smelly feet. Utatafunwa hadi kucha

8 Likes