:eek:
[ATTACH=full]112807[/ATTACH]
:rolleyes: K…H!
i have also seen these mostly on 14 seater
This was discussed here https://www.kenyatalk.com/index.php?threads/vehicle-reg-no-kdh.44392/
sande sana for reminding us.
chinda iko wapi hata ingawa mwenyewe hajui kwanini tu-tennis ball huwekwa kwa radio aerial ya tour vans…
Poleni
I have used a car for 1 month now…the plates are taking long at the port yet I was issued with a KCM/D last month.
Old man uko slow ama ni kukejeli unatu kejeli
Wacha kumulikana unaharibu kitunguu
Sema UTOP ndio tukusamehe
si ungekuwa kasarani utunyakulie hizo nishani zimeenda na wa-Abyssinia?
Kiswahili wanaitwa wahabeshi
naaani alisema tuko hapa kuonyesha ufasaha?
Hate speech boss
kwa nini sasa mkubwa?
Sasa mtu anajaribu kurembesha alafu unam mulika
Mimi sijui…ebu sema
ni ya kuzuia kuharibu body ya gari juu ya whiplash ya aerial. ina-cushion impact aerial iki-swing…
Nkt