How many pairs of shoes do you have?

How many pairs of shoes should man, a descent peasant have? Mbirrioneas please, musiongeleshe peasants vibaya.

Shoes as in ugly chics you hit But cant introduce to the boys?

3 Likes

Hili swali kesho rauka uishie pumwani waweza saidika huko.

1 Like

Surely… it has come to this?

chokosh, kuna peasants husurvive na pair moja. uko na ngapi?

Mingi mseh hata Sijawai hesabu

jirani uliniabilia kiatu ukirudi kenya

1 Like

Hiyo swali uliza hawa majamaa kwa pic, Waulizie Kapa pale Mombasa road.

Good for you umebarikiwa.

1 Like

Sijasahau…si nizile timber… Lakini na hofia luggage iki exceed maximum weight hizo timber iko among the list of things to offload first so cross your fingers

i do

1 Like

Si kubarikiwa viatu uku ni cheap mtu wangu. Kitambo nilikuwa mtu wa kununua a new pair of shoe every month pale footlocker.

A pair of jeans and boots should never miss in a man’s wardrobe.

Regards,
Shiny eye

2 Likes

100 euros might be cheap Lakini huku hiyo ni rent plus doo za stima plus doo za maji na doo za mneti ya bedsitter yangu. So cheap ni pesa ngapi?

2 Likes

3pairs si mbaya. Official moja na casuals mbili kama wewe ni sufferah .

staki kutaja cheap ni pesa ngapi but hio reply yako imegonga point

Kama huna viatu mob enda mskitini Friday saa saba

1 Like

Sema tu no harm

23 for me :):)…and I still feel like these aren’t enough hehe

2 Likes

[SIZE=2]120 euro[/SIZE] hivi

maboyz wangu ukuvalia viatu ya 200euro mseh