Ruto, the hustlers’ president, had woman who interrupted her at DP Gachagua’s funeral removed
https://www.youtube.com/watch?v=3S504p4T2w0
Maghufuli was interrupted by a woman. He asked her to be given a microphone and listened to her;
Ruto, the hustlers’ president, had woman who interrupted her at DP Gachagua’s funeral removed
https://www.youtube.com/watch?v=3S504p4T2w0
Maghufuli was interrupted by a woman. He asked her to be given a microphone and listened to her;
Amazingly, The duo JSKS and JSKM have dropped the hustler tag from their vocabulary.
The hustlers tag is a means, not a destination.
Just put it out there that punda amefikisha mzigo, watu wajipange.
It was a funeral though, maybe it wasn’t the best time and place for the woman to raise her issues.
Huyo mama alikua so entitled, antaka 400k mtoi wake aende majuu
Ruto alikua anasmile lakini alikua anatamani kunyonga huyo mama vile alinyonga ghaseer flani mbele ya Jirongo.
Mtanyongawa nyinyi wote na mfinywe makende.
Zoea rais wako mapema.
Wasapera hupenda kusumbua Ruto zaidi, sio wale wanataka kukutana na yeye for freebies, sio wale wanabreach protocol kumpatia mabahasha, sio wailing wanawake… kwani ni nyinyi pekee ndio mnafeel pinch ya economy.
Ruto asked Rachel to listen to her but the woman continued with her bonobo tantrum, angesaidika aje?
Hakuna kitu anapata, that’s not how things work.