Hotuba ya kambi rasmi iliyokuwa isomwe bungeni

[ATTACH=full]177166[/ATTACH]

nasikia zee la kongwa limezuia ripoti ya upinzani kusomwa! !

Ilikuwa iwaache uchi wakashtukia

Watu wengine kuwa nao ni laana kwa taifa.

Kama ni kweli basi hawajafanya fair

shenzy! wamezuia bungen, bas tutaita waandish wa habar na tutaisoma live!