[ATTACH=full]182471[/ATTACH]
“Wakati mwingine huwa na frastresheni zangu” - Jiwe siku fulani!
Hakyamama Watanzania tuna hasara!
Hahaha.
Lawama zote kwa mzee wa msoga, ugomvi wao na mamvi ndiyo umetuingiza hili chaka.
Yaani hili zombie linanikeraaaaa!We acha tuu.
NAIKUMBUKA HII! ALIISEMA BANDARI PALE! BINT YANGU AKANIULIZA NANI HUYU? SIKUMJIBU
afu jamaa badala ya kwenda Ferry kwenye mwaliko wa wastaafu, akaenda sabasaba kuangalia SIMBA!
Halafu anatucheka kwa dharaaaaau.
Penye ukweli uongo siku zote hujitenga, na majivuno siyo mazuri…
Cc: @Mahondaw
Hapo anaonesha wazi wazi kuwa hajali maslahi ya watumishi wa umma