First of all… hio si story na sex but ill post here!. Am coming back home tena mbio sana coz ile vita nimewekelewa na ma sinya wa Tz sio normal aty coz of not giving way kwa gari ya gela… the same nawaomba wa tz wenye mko home mrudi kwenu coz nikipatana na wewe pia utapenda… kwa photo mnaona ile bus ya green? Hao watu ni ma maku. Iiiiiieeeeeeeeeeeeeee
What do you do in tanzania?
Am a farmer…
What do you farm?
ganja probably
Judging by the things he posts here it might be true.
Na hii ganja haileti pesa ya ku-upgrade pinhole camera?
Camera sasa za kupeleka wapi na mie sio journalist
He probably smokes the whole stash.
Mostly Maize and viazi… bangi zi kuzi achana na hawa walevi
I love marijuana more than you… i would choose shada between your lyf and the herb
Unapata nyumba ni kama jikoni ya kamiti, ama tyre inachomeka…
:D:D:D:D:D
Zi jamaa ni kwa ustarabu…
Pusi badala mniambie sorry ni kucheka tu uku
Pole mosa deh…magufuli ana sheria kali.
Uliumizwa wapi?
Same here mosa deh…infact for me it wouldn’t even be a matter of choosing… Hapo hakuna choice.
hapa umeweza
Wao so tuko wengi… anyway why dont u kuja siku moja tuive na wathi wa base yetu
Sheria zingine za umeffi… aty ukiona gari ya polisi unaruka inje ya roadi ata kama nikwa mtaro ndani mkono tu waliniumiza kiasi coz walipiga ile flying sweep… polisi kama 14 ndo walikuja aty kunivaa