Just joking…!
Wazee wa buku 7 na huku mpo?
chama cha wachawi
mbere kwa mbere
[ATTACH=full]176016[/ATTACH]
Tutembee vifua mbere na wazi tupo.kwenge rite traki…hivi wale wakenya waliosema wanamuomba magufuli akawe raisi kwao bado wapo?
mamaye ccm.
Sisiemu
Halafu watufate na huku!
Napima UPEPO tu Mkuu…I hate hicho kinachoitwa CCM
Nadhani wamebadiri uelekeo.
A new villager nami nimefika
Karibu Mkuu
CCM ndo NAniiiiiiiiiiii?
CCM hoyee.
Kidumu chama cha Mapinduzi
Hata huku kwa uhuru kidum
Teh Teh
Hahaha huenda hawapo tena baada ya kuyaona mabaya anayowatendea wananchi wake
D
Dah!