Mambo vp. Ni mgeni hapa, toka Dsm. Natumaini nitapata bonge la experience flani amazing. Asanteni.
Karibu sana ngombe ya magufuli…wenzako wako hapa kwenye Jamii Forum category…
Hahahahaaaaa! Asante sana, Mbusi ya nani wewe!!!. Hili kweli ni bonge la amazing welcome.
Bonyeza hapa utakaribishwa na wakimbizi wenzako https://www.kenyatalk.com/index.php?forums/tanzania_talk/
mbusi ya wavuta bangi uhuruto, my fellow stoners
Talkers wanaongozeka tu