What is going on?
Who are the nugus.
fafanua zaidi. Hatuna idea ao ni akina nani.
io ni kipindi gani? nimekaa sana bila kuangalia tv
Content yao ni kuzaa watoto na upuzi ya sijui face reveal. Women who were majority of their followers washachoka na hizi antics zao.
Moving forward unless they look for new content, their finances will take a serious blow. Ongezea Kabus who were sponsoring those holiday getaways zao washasplit, its not looking rosy kwao
Are they related to Ruto? Tuwachambue…Kwanza tuanze na hio ni tax yetu
Enyewe mbitika unakuwanga na umama. Sasa awa uliwajulia wapi
Mbitika pia wewe uingie gym uwache umama
Very true.
Ombwakni hawa watu hawana majina? What is their greatest contribution to the general body of knowledge to warrant my attention?
Dress ni tight lakini matako ni flat screen
Wanaitwa Milly wa Jesus, na Kabi wa Jesus.
Dont bother searching their content, your IQ will drop by 50 points juu ni ujinga tu huwa wanafanya in the name of content creation.
Looks like @ChifuMbitika has already suffered the loss
Kenyans enjoy cringe.
Utapata wanawatch a whole 2 hours brain rot.
Hawa walikuwa wanathrive huko Facebook na Instagram. But now Tiktok has taken over they stand no chance in social media.
Ile ujinga watu hufanya tiktok ndio watrend imefika alarming levels sasa. Everyday there is a new fool in that app.
Hii si ni Ile ghasia ulikula cousin yake hadi ikapeana mimba ?
The government should overtax make-up to fund education to boost the overall IQ of the nation.