Hivi unaweza kula ban KenyaTalk kama JamiiForums?

Ban za kenya sio kama za bongo aisee, Nimekutana na post ambazo kwa JF ile ya nyumbani aliyepost angekua anaugulia BAN ya wiki 1-3 lakini huku unadunda tu.

ila kiswahili chao sasa

Kizito sana lakini wa mombasani wako vizuri

Jamaa wanatukana sana

Matusi made in Kenya

Huku kuna Ban Ki Moon

Karibuni na msiwe na hofu kwa sababu ya matusi,hilo ni jambo la kawaida hapa.Na kupewa kiti ukiwa mgeni ni lazima.

Hiyo Avatar yako inatosha kabisa kuwa BAN

:cool:

Kwahiyo mtu akimkosea mwenzie anachekewa tu

Humu mods wapo poa mpaka wana chat-Chat na kushushia mistari Villagers…

Cc: @Mahondaw

Avatar haina shida mkuu

Mods wa huku wahuni sana

Huku BAN hakuna ni kupost mambo yote.

Kabisa…

kuna uzi jamaa anapost porn pics halafu upo tu mpaka sasahivi

Nitajie mod mmoja nimtag nimtukane mkuu

Tukana huyu anaitwa @Deorro ametubabaisha sana mkuu.

Mi nataka mod mzee

Huyo ni mod mkuu.