Tujikumbushe haka ka clip>>> Magufuli: Natamani Malaika ashuke aizime Mitandao
Huyu alioikamata JF ndio mwenyewe aliyamtamani ashuke
Nadhani baada ya mwaka 1 ataiachia kama video inavyosema
Kule Malaika amezima, Huku Mungu amewasha
Ahangaike tu na mitandao, tutamdai Viwanda muda ukifika
Viwanda vipo vingi tu, Cherehani, vijiwe vya mafundi baiskeli, gereji za vyombo vya moto nk, karibu kila nyumba ina kiwanda mkuu.
:p:p:p:p:p:p:p:p
cc mwijage
Hahahahaaaa
2020 atatupigia magoti wana mitandao
Mtamsamehe?
Ndio malaika kaanza kazi ivi
TCRA
Naa ![]()
TCRA kwa kushirikiana na malaika mkuu
Hmm!..
:eek:
Atapiga push up mpaka upara ulowe ila sijui kama atapata kura za kutosha.
Je huyu ndie, au tumngoje mwingine?
Mara paap malaika katua na uku kafanya yake
Sidhani. Hapo alipo ashaajiona kashinda chaguzi zote. Nina hakika kuna mikakati mikali sana inawekwa kupambana na wapinzani kwenye chaguzi zijazo.