HIVI BALALI YUPO HAI ?

[ATTACH=full]179595[/ATTACH][ATTACH]179595[/ATTACH]

Tunawalilia Kwanza Watanzania wenzetu 14 waliokufa leo Mkuranga kwa Ajali mbaya ya Gari huyo Marehemu Mhenga wako tumeshamsahau ’ Kitambo / Zamani ’ tu.

Muhenga mwenye current issues. alie mautini akiwapa habari za wenye uwezo wa kufikiria kujua ni wapi NCHI yao ilipo na inapo enda

Huyu Ni Mtu kaamua kujitafutia Umaarufu

Lowassa anamjua alipo

angekuwa hai mange angekuwa ashamuanika

Nenda kaangalie kaburi lake kule Marikani

Mama Jiwe ameonekana sana kwenye Ibada za T.B Joshua pale Lagos Nigeria.

mkuu naomba nifahamishwe huyu JIWE ni nan?maana kila nikisoma thread mbalimbali lazima nikutane na hili neno jiwe

Jiwe ni Jiwe…
Wewe unafikiri Jiwe ni nani zaidi ya Jiwe…!?

!
!
Utakuwa Ushamjua Basi Tu Unajifanyisha

219

mzee wa 219

!
!
:p:p:p:p:p:p:p:p:p

Ameonekana kwenye shamba la kigogo fulani huko Chalinze anapalilia mahindi.

Wanaoamini balali yu hai hawana tofauti na wale wanaoamini kuwa Nyerere bado yupo hai

Mambo mengine yanatisha sana!!

Huyo ni Jongwe,
Jiwe ni jiwe

Sio kila neno litolewe maana, wakati mwingine maana ya maneno hupatikana jinsi yanavyotumika kwenye sentensi. Kama umeonalimetumika mara nyingi, unashindwaje kupata maana?

ujue wen

wegine kuelewa ilikuwahadi kwa mtutu wa bunduki,iliuwa ikituchukuwa mda mrefu xna.