leo nilikuwa nimeenda place fulani tao kuchukua mali yangu. saa ilibidi nitumie lift ndo niende nayo hadi 15th floor nichukue mali yangu kwa boyz flani anakuanga na biz yake hio floor. huyo mimi nimeingia lift ilikuwa a coincidence that lift ilikuwa na mbitches wanane ivi na mimi pekee ndo nilikuwa tu ndume. hao mbitches walikuwa enyewe wameweza tu yao yote lakini kuna mmoja wao alikuwa nyangumi alikuwa njei yaani. juu mimi ni mtall nilikuwa nikiona tu cleavage kutoka huku juu. kuna mmoja alikuwa na boobs zingine zimestand tu vifiti sana manze. and there’s was this one who had boobs you would think they would rip her chest off.
lift ikafika 3rd floor alafu mmoja wa hao mbitches manze akashuta alafu ni ile mshuto mbaya inanuka vizii. nikaa mixture ya mayai na maharagwe alafu uongezee ndengu. kidogo nipuke. alafu hawa madame ni wajinga sana. after mmoja wao ameshuta wote wanaanza kuniangalia ni kama ni mimi nimeshuta. ilibaki nimeshukia 7th floor juu nilikuwa nisha katsika na wao sana. nilishuka nikapanda lift ingine.
We are very fortunate that farts aren’t as sudden, violent, and difficult to suppress as sneezes.
Otherwise pale ofisi kwa meeting ungekua ukiskia mdosi ameambia secretary… “Josephine, how many times have I told you to cover your asshole when you fart.”
Nakumbuka once I had gone to visit my grandpa …he was a paeditrician huko uptown,
Nikapanda lift na Beth Mugo…hio time she was ill and frail looking…alikuwa na hio ankle support na some aides were helping her walk.
Manze kufika 8th Floor akawachilia the Fart of the Century…ile huwes kosa kusikia…Nilistruggle kuweka Stone face aje…
Reminds me pale TRM nimetulia nje ya ATM ya barclays nikidai kulipa rent. Kulikuwa na dem flani hapo alinikalia msupa alikuwa anashughulika. Kidogo kidogo before amalize line ilishaanza kupile nyuma yangu. Once she was done I headed to the door, kufungua tu hivi, ile harufu ilinipga wacha tu - I took one step back and winked to the next guy after me to enter. Kumbe hiyo foul breeze iliwapiga pia. Tulitulia nje ya ATM for several minutes no one willing to go in.
Mimi kuna time nilikuwa kwa mat nilielekea another town. Then on the way akaingia buda fulani alikuwa well dressed ni kama jamaa anadunga works kwa ofisi za gava. Vile aliingia tu hivi akaanza kuharibuharibu sura ni kama alikuwa na kapain fulani inamuuma. Mara tu after kitu 15 minutes tukaanza kusikia hewa imeanza kuwa polluted. Shida kulikuwa kunanyesha so hatungefungua vioo za gari. Ilibidi tuvumilie hiyo mshuto for the rest of the journey.
mmoja wa hao mbitches manze akashuta alafu ni ile mshuto mbaya inanuka vizii. nikaa mixture ya mayai na maharagwe alafu uongezee ndengu. kidogo nipuke. alafu hawa madame ni wajinga sana. after mmoja wao ameshuta wote wanaanza kuniangalia ni kama ni mimi nimeshuta. ilibaki nimeshukia 7th floor juu nilikuwa nisha katsika na wao sana. nilishuka nikapanda lift ingine.
[/QUOTE]