[FONT=courier new]Nainukuu tusichoshane " [COLOR=rgb(184, 49, 47)]The strongest response to hate is love ".[/FONT]
[FONT=courier new]Ameisema leo Rais wa Zimbabwe Emerson Mnangagwa baada ya jana tu ’ Kukoswakoswa ’ kuachana rasmi na dunia na kwenda ahera ( Kufa / Kuuwawa / Kufariki )[/FONT]
hiyo ni international harmonization statement ila nyuma ya pazia akianza ku deal na mmoja mmoja kimya kimya wataelewa tu na kujutia kwanini wali calculate vibaya jaribio lao.
Kosa kubwa ni kumsalimisha, hapa watanyongwa wengi. Hayo maneno n gheesha, rohoni ni NUNDA MLA WATU, kama Jiwe alivyo na lugha ya ulaghai na Bashite wake!