Nothing in Kenya is ever given the seriousness that it deserves, sio infrastructre projects sio basic traffic rules. Sasa nyanizinaambiwa eti ibada za Kaninisa zitasitishwa wanaaza kusema mambo ya freedom of worship.
[ATTACH=full]292610[/ATTACH] South Korea
Yaani mbona Mungu aliwanyima Waafrika ubongo akawapa misuli. Just why?
[ATTACH=full]292611[/ATTACH] Kanagawa Japan
Wacha kutusumbua, hii kitu haitaki kufikiria saaaaaana. Hizo akili mingi za wachinku na wazungu ndio zimetufikisha hapa in the first place, na ndio zitamaliza dunia. Hii tumeachia mungu sasa.