Hawa ni maskini wa kawaida. Mama fua, watu wa kacyber, tuhoteli. This is really low of the investor
mddile class kina @Yuletapeli wajinga sana. wacha watapeliwe kabisa
Furk! Hata hawa?
Nko tu na swali moja. Whats the benefit of using these companies as opposed to building oneself?
Kuwa mjinga tuu. It’s called social conformity. People mostly work like lemmings. Utapata a good percentage could do it alone but scammers know psychology so they use that against you. So unapata umeingia mix juu kila mtu ako hapo
:D:D hapo sio rahisi
Anything from Kiambu is bullshit. Bure kabisa. Ngombe ici
Lakini wa kenya wako na pesa nyingi kweli, yaani scum after scum and they never learn? Si gakuyo alikuwa ameosha watu tu juzi hapo?
Ata hao wadosi wa Lesedi wakishikwa watatumia hizo hizo pesa wame con watu ku bribe their way out.
Ata wale polisi watawafuata watakua wakifuata a cut of the money sababu wanajua ziko…hivo ndivo kunaendanga
Cytton
Deci pyramid
Gakuyo
Mimi nikuwe na.milioni halafu nipee MTU anijenge. Mimi? Can’t be me.