[MEDIA=twitter]1595467097588568077[/MEDIA]
Kenyan fans would’ve defacated all over the place.
They are very respectful people unlike the rest of the world.
Kweli kapsar. Kwanza @PHARMACY Ange andika Kwa ukuta. Chief chokosh was here circa 2022. Outta kathonzweni passie.
Go ask East Asians just how respectful and humane these japs are .Mjizoeshe kusoma so that you dont get impressed by these PR stunts .
Mugich wanugu wa njeri niaje
Kasee ndengu ina weza pandwa laikipia.
Si tuanze ku cultivate such a culture amongst ourselves. Eg mkipiga safari na mabeshte na mulipiga kambi pahali, ikifika masaa ya kutoka tutoke na taka taka. We can start individually as KTalkers and observe how it spreads to non villagers. Pia tufunze watoto wetu kwa wenye si MGTOW.
Hakuna kitu kama hiyo. Wacheni kudanganyika ni vitu kwa mtandao. Organizer wa kombe la dunia ashajipanga kila kitu kuhusu usafi kwa stadium, na pesa iko, wafanyikazi wako. After izo game zengine nani wanafanya usafi?
Nitafanya research
h
This was mandatory as old school boyscouts. Modern boyscouts, if boyscouts still exist, sijui what they are interested in after the influence of globalist liberal leftists