natafta a two bedroom pale pangani… nani ako na broker ambaye si mkora already i have been conned 800x3 za booking etc…
budget 18-22k
@under23 alikuwa na date kwa kwa ukuta ya an empty apartment jana pangani…sijui kama alimaliza…acha akuelezee
si uende tu ruiru ama huko waiyaki way
Hio budget ni ya 1bedroom thika rd yote hadi githurai