hekaya uncle uwes

NIMEKATIA DEM for 2 weeks aka agree kukam over but hajui naishi wapi, unajua ile time umeboeka unaingia watsap na kuangalia madem ulichukua namba like a year ago then unachagua yule ameva raunchy fiam , yep hivo ndio niliselect . sasa mimi uncle Uwes nimekimbia mbio kwa Wines nikanunua jameson 1 litre (2,500 ) nikakimbia mbio na coke kwa cave nangoja akuje . hapo 6 napata simu ati ooohh nimefika kwa shoping center kuja unichukue , sasa mimi the mosad in me ikaniambia nipige reconnaissance nijue ako solo ama na regge squad coz niikuwa lazima nikamue atleast shot nne hii pesa ya njemson irudi ( yes niite peasant ) .mimi huyo uncle Uwes nikafika shoping center chini ya maji , nikaji camouflage then nikapiga simu na eyefon 6 yangu . NIkapiga niki analyse ground nikaona dem mfupa ameshika simu , nikakata . nikapiga tena ku reaffirm si macho yangu iko na shida nikaona mfupa ameshika , nikasema kama mbaya mbaya hata mfupa hutoa supu tamu bora uwekee pilipili .

" niaje my dear "
"poa uncle uwes , uko wapi haufiki "
" ndio nimedrop x6 carwash but nakuja umesimama wapi "
"hapa kwa main gate ya soping senda "
“ok, uko solo ama na kina nani "
" niko na beste yangu mmoja” my heart took a leap hapo kwa beste yake , " , i hope njemison haijaisha "
" njemison iko mob 2 litres wacha nikuje "

kuangalia vizuri naona dem ako na mabeste watatu deep in conversation and i had requested that she wears a skirt or dress na saa hio amevaa jeans rugged yenye hata goliath kuitoa kwa hizo skinny legs zake ingebidi ameze ile dawa SHARAPOVA ameconfess leo , nikaona hapa ni tricky . huyo mimi i backtracked back to my mancave na kumeza jameson polepole, 10 missed calls later nikazima simu . went to my fav brothel , shot mbili then nikaenda nyumbani kwa bibi .

MORAL OF THE STORY : madem mukiitwa kukamuliwa hujaambiwa ukuje na kijiji yenyu schupit.

[ATTACH=full]33290[/ATTACH] [ATTACH=full]33291[/ATTACH]

31 Likes

hii mashida yako shemeji ni ya mtu hivi hivi,kwani ulikuwa unamukatia kischool boy style ati hajui kile ulikuwa unataka?

1 Like

Purpose ya kumwambia avae dress ama skirt ni gani?

Pic 1 = Underage kid

1 Like

He he he! Candle ni za kazi gani babaa na hata haujadim taa?

4 Likes

hehehehe

kazi ya skirt/dress ndio accesss ikue eazy . hata ukinyimwa unaeza jaribu uingie na ukishaingia ataenjoy tu vile hon Kiraitu alisema

2 Likes

hahahaha. nice hekaya uncle.atlist leo umejaribu kupitisha paragraph moja. lakini uchoyo yako was your undoing, ungevutia fisi mbili za mtaa, uzishow ziongeze mzinga moja ama mbili ndio kule kwa cave kila homo sapien ikamate wake. we have been through this before na hatusumbui!:D:D

22 Likes

umesahau kukumbuka ukikimbia shoppe kununua arimis na ushindi uende combi

hio day nilikuwa leave na mafisi walikuwa kwa jam , hizo ngombe btn 19 to 24 tatu zinaeza meza njemison zikuwache kwa mataaa before fisi zifike . but seriously dem kukam na madem watatu hio ni full REGIMENT ya kucock block .

2 Likes

hii hekaya iwekwe kwa index ama aje.?

1 Like

:D:D:D:Da peasant at his best…huwezi cater ata drinks za madem watatu???

3 Likes

Okay

@bjurmann black ops a small unit haikuwangi watu wanne ? , hawa walitaka kumaliza birrions zangu

2 Likes

makende mimi sikuita madem watatu niliita mmoja , ningeambiwa beforehand ninunue njemison tatu . na niliita dem nimtombe si akunywe njemison ya bure .

2 Likes

yep. na ile ya @kush yule mnono na @jerrydubiz

1 Like

si ungewakula threesome?ngombe hii

3 Likes

hehehehehe, fisi unfissed.

kama vile alikukula ww na @machangimansolo ???

labda homowebdev ama junkie gay

1 Like

KUKULA MADEM THREESOME SI KAMA KUCHEMSHA MGUU YA PUNDA KWA BUTCHERY

6 Likes