Elders Mimi ni kama sina kismart ya ndoa my first ilikuwa na single mother akanitesa nikakonda ikabidii nmejiondokea juu hio ndoa ilikuwa ni vita kila siku… 2019 nikapatana na mkamba, Mali safi kabisa game ikanifurahisha nkaweka kwa nyumba tena nikajiambia hii nayo lazima itawork thats what I thought wacha mrembo ashike mimba, hapo ndo tena nightmares ikaanza tena…bibi akaanza kisirani kila siku mara natoka job hajapika, Nguo zijaoshwa me nkasema maybe ni ball ata change, wacha azae Bado ni vilevile nyumba ni hell so Jana tumeshinda tupoa jioni ameanza kisirani ati hapiki na yet food iko kwa nyumba Leo nmempea pesa arudi kwao na ameenda na mtoi huku aakinisho vile ataniendea kwa miti ni dawa…Marriage sitaki tena depression is real elders.
:D:D:D:D chances are you are a simp, a big Simp Dio hao magaidi wanafikiria huwezi ishi bila wao. Vile huyo mkamba aliacha kupika ungemchapa kichapo ya humbwer na hio ball ,heshima ingedum . Chapa mtu Kama mukisii . Bibi ya @Night-runner uosha mavi kila siku kwa Raymond blankets ( @Night-runner akitoka long distance naked sprinting lazima akunie kwa bed akitetemeka) na huyo kang’ina huwa amekanyanga line yake asiauwe na @Night-runner the sorcerer
Hivi ndio beta male mnasurvive…yaani uoe bibi who should be cooking but coz analeta kiburi you get a househelp to cook to avoid conflict…unaitaji whips
Actually mimi upika saa zingine. I am a good cook. I can stir you a meal better than what you can get at Villa Rosa Kempinski. Sigwes stressiwa mimi juu ya chapati na ndengu.
Kuna singo matha of 2 Huwa nakula mm huyo vile Huwa ananiekea nikama huwa anangoja nimuoe cause she knows very well I ain’t married yaani huwa anakamua balls empty nikitoka hapo ni smiles tu