poleni jana sikuweza kupost friday weekly magazine…
niko ocha ni mvinyo tu…
sasa jana xmas…home kulikuwa na zile sharehee za xmas…na fombe kwa wingi…tommy kama kawaida tukalink up na mabeste wa ocha…na jamaa moja akacome na dame wake anaitwa joan…after salamu mimi ata sikuwa na intention za kukatiya ama kuchokoza…anybody in ocha…
tuka lewa na kuanza kuimba imba zile ngoma za kitambo walevi huimba…
sasa ile kujuana na raiya ingine…naona tu kale kadame kananiangalia na kusmile…mimi ata sikuwa na clue whats up inaendelea…kumbe kanataka Tommy …
na mimi nikiwa ocha hukuwa a good boy ata huwa sibebi makobosto…juu ocha sio place ya ku hunt mizoga…
sasa nikienda kukojoa kakanifuata kakanishow mbona unanilenga ivo…nikasema wewe c ni dame ya kamah…
dame aka anza hadithi ati nimekulike …na akarudi kwa nyumba…
sasa after kurudi ndani …nakatupia tu jicho kisnipper
tukaendelea na ulevi…na watu kadhaa waka anza vita za maneno na ikakuwa violent…ocha thing izi ni normal…
fast forward…
juu sigebeba kitu ya wenyewe na ni ya bestee yangu
ilibidii nikule karugamo bila makobosto apo kwa shamba:D na tukarudi kwa party like nothing happened
you let your penis lead you as we have had before… our forefathers before us bore the same afflictions bt resources were vast then yet they still fell prey to such.