Nimekuwa kama guest for long, Leo nikaamua nijoin hii kijiji officially. Respect to you all, heshima idumu.
sema UOTP…
Am for RWNBP hahaha
mbona unasound ki multi handler hivi
yaani uko na u-kihiikiaganu mahali
Huorayusaying?
Huorayusaying?
rudi uko kwa window.
hapo sawa chukua like yako ya kwanza
Log out ukuwe guest tena.
Regards.
UOTP Spokesman
@Muhura Ndore that name is funny! I can guess your age and where you come from by that!
Wataka kunyamba kwa village?
karibu sana ndugu,sema heil uhuruto*3 ukiwa umeface mount kenya
‘Beater of the fart’? A new low
wewe broker uzia watu mawe polepole bila kusumbua
Nazi tulia
[ATTACH=full]111186[/ATTACH] Keti hapa kwanza ungojee chai. Gunia ya kulala jioni utaletewa na @introvert
Nilinyang’anywa funguo za store.