lakini wazungu walitubebea akili, they say the sound of sheep is baaa baaa na mi huskia meeeeeeeh meeeeeeeeh, alafu mbwa at ni bow wow seriously? all I hear is ghu ghu ghu ghu! Jogoo ndo mbaya zaidi cockadoodledoooooo hahahaha nani huskia Kama Mimi ghukughukuuuuuuuu
At least you are @Preety.
Did you get a new manicure/pedicure?
mwalimu ako wa primary akiona i post atakupiga 2 hot slaps na sweep
:D:D
Can you confirm the pic that was posted jana was you kabla tuendelee na huu mjandala wako dada.
Snapshot ya miguu tena…nilipenda saana
Rink priss nikienda duka kununua vaseline
Hata wakorino walipoona walibebwa ufala na kanisa la mzungu, walienda na wakatengeneza kanisa lao.
Hiyo miguu tena priss, na si tafathali !!!
Upus
Link wakubwa banaee.
Crap
blonde moments
Sande sana… Pewa Arimis moja kwa bill yangu
Mzungu… enuff said
https://z-1-scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10606136_1035428019855750_2127018531044157008_n.jpg?oh=716568bcb2404a1b299dc347b9c4c1b4&oe=57070D43
One thing i will never understand is why 7 o’clock iliitwa saa moja, 8 o’clock saa mbili. hii ni kucheza na akili big time