Hawa Wazungu wanatuenjoy hata kama ?

lakini wazungu walitubebea akili, they say the sound of sheep is baaa baaa na mi huskia meeeeeeeh meeeeeeeeh, alafu mbwa at ni bow wow seriously? all I hear is ghu ghu ghu ghu! Jogoo ndo mbaya zaidi cockadoodledoooooo hahahaha nani huskia Kama Mimi ghukughukuuuuuuuu

8 Likes

https://www.youtube.com/watch?v=jofNR_WkoCE

3 Likes

At least you are @Preety.

4 Likes

Did you get a new manicure/pedicure?

:smiley: mwalimu ako wa primary akiona i post atakupiga 2 hot slaps na sweep

1 Like

:D:D

Can you confirm the pic that was posted jana was you kabla tuendelee na huu mjandala wako dada.

Snapshot ya miguu tena…nilipenda saana

Rink priss nikienda duka kununua vaseline

1 Like

Hata wakorino walipoona walibebwa ufala na kanisa la mzungu, walienda na wakatengeneza kanisa lao.

1 Like

Hiyo miguu tena priss, na si tafathali !!!

1 Like

Upus

Link wakubwa banaee.

1 Like

manicure and pedicure Mambo's - General - Kenya Talk

1 Like

Crap

blonde moments

Sande sana… Pewa Arimis moja kwa bill yangu

Mzungu… enuff said
https://z-1-scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10606136_1035428019855750_2127018531044157008_n.jpg?oh=716568bcb2404a1b299dc347b9c4c1b4&oe=57070D43

manicure and pedicure Mambo's - General - Kenya Talk

One thing i will never understand is why 7 o’clock iliitwa saa moja, 8 o’clock saa mbili. :confused::confused::confused::confused::confused::confused::confused::confused::confused: hii ni kucheza na akili big time