Hasoras to fly from Mombasa to Dubai directly, amefanya kasi buana.

Sasa elders kama @Heke na @kush yule mnono watakuwa wanatoka kwa mwarabu wakiingia beach direct. Nice stuff. Lakini wakitaka kukulia waeke $350 return, hiyo $541 iko a bit steep kwa mfuko ya hasora.

[MEDIA=twitter]1593162020446142464[/MEDIA]

Bei si mbaya saaaana for a return from beach to beach

Taking housemaids to be killed.

Sio saudi buana. Dubai ni ulanye madame wanapeleka