Naomba kuwasilisha[ATTACH=full]178202[/ATTACH][ATTACH=full]178203[/ATTACH]
Duh! Adi dagaa
Hapo ndipo nchi ilipo fikia…tehteehhh
Hatari sana
It’s time we evaluate our collective intelligence. Inasikitisha.
[ATTACH=full]178540[/ATTACH]
:D:D:D:D:D:D:D:D @Ushimen hahahahaaha
Na hapo ndipo nilipo gundua tofauti kati ya akili na ujinga ni kuwa, akili ina kikomo, ujinga hauna kikomo
ati!
Halafu huku mods naona hawabani sana. na maneno yote ukiandika hakuna neno la kuleta nyota nyota kama ***** ambazo kule home kuna maneno ukiandika lazima yafichwe
Rula
aisee kweli ni mwendo wa Lula tu
Tafadhalini wandugu, pima urefu wa dagaa kabla ujakula.