hapa kuna maneno

Mtaona any hapa kweli na najua zishawarunda[ATTACH=full]19004[/ATTACH]

Peleka ulevi ---------------->>>>

Sioni kitu

1 Like

hula hoop ni ya nini bedroom?

2 Likes

Punguza bangi… Bed ni maneno tena?

1 Like

Cheki hio duve hapo down uone kuna mtu anaivuta chini kujificha

:mad::mad::mad::mad::mad::mad::mad::mad:

Just nicked 20 points from you for taking me on a wild goose chase

in this case anyone can see anything they want…

Ngoja hizo points nizireclain arsenal wakishindwa

Aki na vire nirikuwa nimekodoa masho…!

1 Like

Kwani hapa ni pale naskianga wasee huporwa kama wanakula mali ya kununua… @Kidinyi kuja ona kujifichio!!!

maybe ata ni @Kidinyi amejibanza hapo

si walcott aingie saa hii

@kingoloode rushia huyu jamaa pupu.

3 Likes

Walcott leo anapumzisha mwili.

Si ungoje tulewe bwana, saa hii bado mapema.

OZILLLLL

NIAJE MATHIGHS

Poa sana uncle, niliona wamatiti ana complain una munch under age.

HATERS UNCLE HATERS