hangover

inaniuwa wadau saidieni Navy seal . nimeshindwa hata kukamua bibi , sina appetite naskia kusimama na kichwa . dawa ni gani wasitoo . sijui mbona hangover yangu hukuja usiku .

kunywa maziwa ya shepart

2 Likes

https://www.kenyatalk.com/index.php?threads/masaibu-ya-dry-fry-chaiman.40773/

2 Likes

ngombe

mdau @Mtanzania Magufuli saidia

1 Like

Siwezi kosa maji ya gas(sparkling water) kwa fridge. Hio ndo huwa my hangover cure.

ukinyua mchana hang’ii itakupata usiku…and vice versa…

Hii hangover yenye unashindanga ukilia hapa kila weekend si ufanye venye ulifanya last weekend ikaisha…chupid

15 Likes

nichukue gas niwekee ndani ya fridge ? ama niweke gas ndani ya maji ama nichemshe maji na gas .

13 Likes

Cech saidia mimi ngombe ya wenger

Boss kumbe wewe ni paka vile unajifanya Weider kwa kijiji? Kula rice na piece mbili za nyama utulie…

3 Likes

Sparkling water, kwani haujui hio ni nn? Uliza Patel kesho.

3 Likes

Mijinga, its carbonated water…ama Schweppes or whatever

so nichukue maji niboil kwa schweepes na hii schweeps ni unga ya ugali ama ?

4 Likes

sparkling kiaje ? ni chukue mirror ni reflect kwa maji ama ?

3 Likes

Ngombe uncle uwes. Ulikuwa undercover wapi?

So you must drink, must it be chang’aa? No. Si uache tu

nisaidie solution ya saa hii , short term solution omwami

tafuta glucose ya mtoto kwa hiyo nyumba koroga yotr kwa maji ukunyue na uwache kusumbua…

3 Likes

uwesukimwi si your mungiki wife ata kumaliza na panga vile unashindwa kumkamua