[ATTACH=full]114067[/ATTACH] Dawa ya kutibu hangover wangwana ,njeri amepika hii nikateremusha na maji kwa wingi na tot mbili za Smirnoff niko sawa ,leteni ideas?
swafiii …ongezea supu na utakua sawa
Yes huyo ni wetu kabisa amekumbuka kuweka carrots kwa kachumbari na kwa mamboga
Mashakuraaa
Amesahau avocado, naona hii ni impure sampuli ya @Ice_Cube .
Mix Njeri. Uyu ne Mundu wa mucii
Unamaanisha nini omwami?
U2tp
Shakura ya harusi ya mugikuyu. Ni pilau tu alisema hataki.
Afande unasumbua sisi
Uotp…
wewe mahali utanyamba kusikue na mtu anavuta fegi hapo karibu
Walai ulikula hiyo mathoganio utakufa afande :D:D
hiyo food iko sawa afande utatoka hapo ukiimba RWNBP kama uwesmakende
Such food hupikiwa wanamme wenye hawatosheksngi
Ungua polepole. Sio sisi tulikutuma.
Hii ni kuku ya grade, skulagi broiler mm…kienyeji hadi downtown
Kunywa supu ya kuku na pilipili.
hapo sawa padre
Sisi tunakula
[ATTACH=full]114069[/ATTACH]