Hali inazidi kuwa tete nyumbani

[ATTACH=full]177065[/ATTACH]

Ukishaanza kula nyama ya Mtu ni ngumu sana kuacha…
Na ALAANIWE huyu jamaa.

Muda si mrefu TCRA watasitisha account ya Gerson Msigwa pia ile ya Twitter maana sidhani kama amejisajili.

Na bado

Mambo ndio kwanza yameanza…nchi mzima itaimba wimbo mmoja…
Ile ya vituo vya television zote kujiunga na tbc habari ya saa mbili usiku iliishia wapi!?

Mambo ya ajabu saaana.

Waje kijijini huku, wameng’ang’ania nini mjini huko!?

Aiseee

Back home mambo si mambo

Sisi huku PWANI tuna kamsemo ketu: KILICHOMPATA MAMBA NA KIBOKO KITAMPATA…

Bongo sasaivi kila kitu usajiri,haya mambo mbona awamu iliyopita hayakuwepo

wanasema unavuna ulichokipanda, CCM wajiandae na mavuno ya wanayoyapanda sasa

Ila tutazoea tu

Yeah! No situation is permanent

Maneno ya Tundu Lissu yanaanza kupata heshima.

“Kwa sheria hizi hakuna aliye salama”

Alivyokuwa anaongea kuna media zilimuona kama mropokaji kumbe Leo ndio kinawarudia.

[QUOTE=“Mwanga-Lutila, post: 1672727, member: 37072”]
Maneno ya Tundu Lissu yanaanza kupata heshima.

“Kwa sheria hizi hakuna aliye salama”

Alivyokuwa anaongea kuna media zilimuona kama mropokaji kumbe Leo ndio kinawarudia.
[/QUOTE

Kabisa.[/QUOTE]

Sisi wa PWANI, tunasema, “kilichompata Mamba na boko kitampata!

Aiseee

aiseeeeh

Kwani wamejaribu kuja huku uhamishoni wakasumbuliwa? Mimi na wenzangu tunafurahia UHURU katika Nchi HURU ya UHURU.