Jooz juice. from billboards, prime time adverts, social media campaigns..Ata niliona billboards shagz
2 Likes
Biz ni ya kasongo?
Mango = @carthozweny
1 Like
Wacha birrionaire anukishe kitunguu bila kusumbuliwa meffi
Elder… ulikataa kabsaa kunichanua zile shamba za mutomo niliona wanadai just a few birrions per acre. Nataka 20 acres nifanye farming wazimu nikifika 45 years.
