Jana was on a sunday juu naishi hao ya mabati huko Majengo. kama kawa juu Mwanaume ni Kujichocha ilibidi niombe beste yangu key ya keja mwenye anaishi 4bedroom juu niliwa idhaa ya kuleta msupa kejani alafu kufika kejani nikashindwa kuoperate audio system na tv …Hapo ndio nilitumia ujanja fasta faster ki undume ,nikapigia mwenye keja simu akuje kama fundi wa electronics…ni khaard.
2 Likes
Rudisha hii meffi ya fb mahali ulitoa, shetani wewe- tunaangalia Euro 2016 pesa zetu zikipotea na Spain na England.:mad::mad:
7 Likes
I completely distance myself from this thread…
8 Likes
Mtu udisconnect Kwa main unadai stima zimepotea
1 Like
COOL STARRY BRA
[ATTACH=full]45880[/ATTACH]