[MEDIA=twitter]1646073166857654272[/MEDIA]
Dense Hustler will pray for them to reform
Wild West kwa kina @Gaza pia walienda Iten Hospital wakatoka na mgonjwa mmoja.
Saa hizi Kenya ni shimo ya siafu. Only the strong survive.
Paranaweeee Paranaweeee parana!
Hawa wagondi wanafaa waingie parliament waibie hizo pigs zote…wawachane na fellow hustlers
kuna patient alipona kwa io kisanga
Hospitali wakicheza hii itakuwa precedence. Hii upuzi ya kufungia mgonjwa juu ya bill. Watu watakuwa wanahepeshwa na mlio wa risasi.
Seems thieves have found a new frontier. Watu hosi hukuwa loaded vibaya sana, na carefree.
Yana hapa ndio imefika, Kenya = Nigeria = south Africa
Wasijali, they will be prayed for on Sunday.
All manner of criminal ‘investors’ from Nigeria ndio sasa wataingia visawa… freedom is here