Governor 001

cruising down along Nyali bridge in a Ferrari
[ATTACH=full]47369[/ATTACH]

4 Likes

Damnnnnnn wapi hio unga pia mimi niuze

3 Likes

Mali ya umma.

2 Likes

its only 30M at most

kwanza ju haina milango na viti vya nyuma its cheaper

its most definately even more cheaper ju haina roof …hata haina ground clearance poa

hii gari ni only 21M

16 Likes

hata kifuniko hamna…new edishen

2 Likes

Gari haina hata seat covers

Hii gari paint inakaa cutex …hii gari imepakwa cutex

Hii gari ni kitu 17.5M tu

6 Likes

Mkubwa Niko na 12.5M unaonaje unijazie nishike hii machine. Nitakupea squad mtaani uchape round

5 Likes

hiyo pesa ni mingi sana kwa hii gari

Nilikuwa nimesema ni 17.5M but nimekumbuka ni used

so ni kitu 15M hivi

ukiconsider ni ya mombasa …maji ya chumvi …rust kibao

ka mtu anaelewa hizi vitu nimeipea nothing above 7M

5 Likes

hata kuweka eya freshna hapo ni kazi bwege tu…wacha tuwape 2M

6 Likes

@rollout

2 Likes

mwanzo ila zaidi nimeangalia miguu imeisha tread inafanana na ulimi wa mtoto

sasa hii gari nikiipea sana sitashukisha chini ya 65oK …hii iko bei sawa na Noah or Voxy KBH to KBL hapo

5 Likes

nathani wewe mkarimu sana…mimi nawapa Bajaji steshen wagon na bei ya jioni pambio alfu mia hamsin

2 Likes

haya jiwekee hamsini, wape mia

maanake hili gari lake ni plastiki sana sana, …na hata spares lazma zitoke italia …yaani hata hapa malindi hakuna

2 Likes

sawa naenda zangu kwa Salvatore sasa ivi ili nijue anauzaje kabyuleta yake

2 Likes

gari ni mali kidogo

Hehehee @Bingwa Scrotum yaani haifiki hata kifikifi mpya

:D:D:D:D:D Bingwa.

:D:D:D:D

Wallahi mumenimaliza…ata GV001 akisoma atacheka tu!!

Undressing a character in 4 simple threads,life is a biatch:(:frowning: