Government gives soda and bread for lunch at Kabiru-ini Showground

Government gives soda and bread for lunch after the NYOTA programme at Kabiru-ini Showground.

1 Like

Hii ujinga ya handouts imepitwa na wakati.

Approach ilikuwa make them poor, and they will worship you. Na ndio sababu wanaharibu education, watu wakuwe wajinga. Wanamaliza agriculture.. muwategemee, misaada.
Wanaharibu mahosi mkuwe busy na whatsapp groups mkichanga birrions.

Ni watu wakatae..

Swali ni: Watakataa aje wakiwa na njaa…

1 Like

Lunch ya dibre na soda baridi ya coke huslap videadly sana na tusibishane. I occasionally drive six kilometres to a local bakery kujishikia mkate moto from the oven na soda ya madiaba.

5 Likes

I loved that combo in high school.. lakini the optics za hii apana mzuri for murima, remember mchele nyama after elections?

3 Likes

Hizi vitu ndogo ndogo ndio lower class hukumbuka wakipiga kura, na hao peke wako na hio patience ya kusimama kwa jua wapige kura.

2 Likes

Okuyo gave a drunk githeriman HSC accolade for voting two thugs early. An expensive mistake that locked out the likes of Peter Tabichi, Eliud kipchoge etal

3 Likes

The Indians have gamed this, they employ the Africans and keep them fighting against each other, so that he reaps the most from them all.

Pale EPZ, Muindi amesign contract na UK-Ombudsman where the export contract demands that he will pay his employees at an above market rate. Bhai nodes his head as usual sideways and agrees to adopting a pay-scale that’s fairly comparable in the market, to which the Mzungu agrees to. On the other hand, the Indian does not blink. He goes ahead to employ Wephukulu for watchman services and decides to pay him 8k a month, instead of the proposed 25k, and uses his Chutni cooking skills to cook the books. He will then use Mutiso as the head of the support staff to Keep Wephukulu in check, use Opiyo by giving him a big title, he knows that’s his Kryptonite, Kamau atasundwa loan Moja Safi he’ll be a donkey for the longest trying to balance the math.

5 Likes

Huyo ameiba mikate hivyo juu ni maskini na hana namna, ama juu ni mwizi ama juu anawezwa na tamaa tu ya kawaida?

Very true. Sasa Jaruo itapewa dockets kari Kari kama ile ya Mbadi ya ku hoodwink luogege. In real sense Mbadi is in a school accounts clerk tier. Si yye anakula vitu ni kina Chirchir/sudi. Then kondele will celebrate for two days that they’ve a CS at the treasury.