GOK to launch 1 million digital jobs

Kenya has started a digital skills training
programme to enable 1 million young
people to secure freelance online work
in the next year, in a bid to tackle the
country’s acute youth unemployment
problem.

www.businessdailyafrica.com/Kenya-targets-1-million-digital-jobs-for-youths-in-a-year/539546-3780968-x4xaquz/index.html

1 Like

Ha

U
O
T
P

3 Likes

Hii ni upus of the highest order. First of all, hizo sites wanasema, zile ambazo hazihitaji some kind of papers are transcription sites. Kama hauna access to laptop, reliable power, INTERNET, ushafeli the most basic requirement. Second, for transcription, lazma uwe na impeccable English, unaelewa punctuations and other such things. third, most of those sites have an entrance exam. Hapo ndio wengi wataangukia lakini wakenya kawaida lazma waunde pesa wakiuzia watu accounts. End result, those sites start banning Kenyans due to the poor quality of work delivered.

Transcription sio ya kila mtu. Kwanza ukiwa scatterbrain kama mimi utajiwaste kwa vile the more work you do the more you are paid

4 Likes

This is a fool (cs) who has been eating a salary for five years for nothing

He he he tutaacha kulilia serikali wen ? Surely. Mavijana tuwache entitlement bana, ati oh job ya 10k siezi fanya oh kazi ni ngumu. Hata mwenye anaget mita sahii hakuanza hapo.

2 Likes

hii ni bangi. mtu ajitafutie

If only vijanas would realise how “watu wa mujengo” are doing well nowadays (chini ya maji). Just a matter of working hard and smart + saving. Ubaya wa hivi vinyangarika vya siku hizi havitaki kuchoka.

2 Likes

those guyz are doing relatively well. I know one that just recently bought a piece of land in Busia na ni mtu wa mjengo huku.

Nikujipanga, ama namna gani my friend ?? insert Ruto’s voice

I did mjengo for a while kama mtu wa mkono. 500 per day, expenses zilikua soo moja ama 150 including fare. Used to credit my mshwari with 300 everyday. It was hard work but I loved it coz the crew was hilarious. Hekaya zilikua zinatembea nacheka hadi nashindwa kupiga plaster. Shida huwezi guza dem kwa uso romantically coz the hand ni kama sand paper.

1 Like

When the government allowed the betting craze to manifest. They doomed the future of many young people.

When through betting they are making over 10k a month without breaking sweat. i.E On worst case scenario.

Will they work for the same amount (Inclusive of overtime).