Imagine upee kischana kazi alafu kianze kukupea maubladifukin kama hizi. Kitu ya kwanza ni kuchunguza phone records from the past 90 days. Hapo ndio ukweli iko. Huyo mwenye bizna ananyoroshwa kama ng’ombe
I may have cracked what happened…by a 2 minute internet research…toxic encaphalopathy…uliza @purple to explain…Mimi sio doktori…read a few links below upunguze ujinga
Usipoelewa kitu…makes you dumber than both girls combined…at least wanajua ni kemikal ngamwaya…wash wash literal…unaoshwa brain temporarily by exposure to toxins…man made or natural…by touch or smell…neurons stop firing…unakuwa ndwanzi kama wewe
They made sure not to directly get exposed to the Neuro toxin when doing the wash wash…anaweza weka pamba kwenye nostrils…make sure not to directly touch it…hold your breath etc…just my quicky researched theory…sio riswa…ama uchawi…think many rogue pastors employ this tactic to shut down their sheep akimguza na handkerchief…anasema riswa…Jamaa anadrop
Hawa wahindi huwezi ona DCI wakiwaanika na ile kizungu yao mingi. Alafu soon utaona bonobo ikiweka thread kuuliza “why can’t Kenyans work hard like wahindi?”
Hakuna uchawi ama dawa,bonobo hangekubaliwa kusongea hivyo karibu na mali,msichana amesmile ka nanzenz. Kuna siku nikiwa supaa nikapoint to some new notes cashier anirudishie as change, alifunga drawer mbio mbio na kuniambia nisiingie hivyo. Omuafrika jameni
How come wahindi hawajashikwa na pia wanaguza hiyo ngui eno. Na ni dawa gani huyo infanya kazi in the exact amount mtu anaingia na kutoka. Ati inaisha nguvu exactly mhindi akitoka. Ngui eno muici kaguaro
If this shit actually works, why don’t they visit central bank confidently wearing gas masks and just pump liters into that place. If such crap existed you would be sure major bank robbers and terrorists would use it daily. Kwani akili ya mtu ni TV ati unafinya karemote inakorogeka. They’re just dumb girls that got conned or worked with the cons to stage a robbery.