Ghasia Zingine Friday zao zilianza Kitambo ..SMH

Ubaya ya kuanza tei mapema. It’s just 4pm na jangili ishakula K.O.
[ATTACH=full]238251[/ATTACH]
Enyewe walamiste huwa weak manze.
Lmfaooooo.

Panyaste kuna mahali unatuangusha

Mseh una expect nimchunishe sukuma nn? Am not like that mayne…am straight

Jaruo inakupiga maslaps kijinga jinga bila reply

hangepata simu na njumu hapa kenya

Ona hiyo train/u-bahn mko wawili kwa coach. Wacha watu wa ocha wakapambane kwa ile train ya Kibera jioni.

Amemumunya mali yake bila kukuomba. Shida tu ni mahali hiyo camera umefocus betrays you.

Cheza kama wewe…
Muibie simu

ATI walami ni weak fombe enda Russia uone mjamaa anameza ile vodka mzinga ya 60% alcohol solo na atulie akule sembe

Najua unangoja watu wapungue then umchunishe Sukuma

Omwami uko area gani. Tupatane tushauriane umeze konyagi.

chunisha mlamiste sukuma porepore

Huyu ndiye Ivonne?