General anakaa paka amemwagiwa maji kwani mlifanyia yeye nini akafilisika

https://x.com/i/status/1874185383753506879

1 Like

Charlatans snake oil vendors.

5 Likes

Utapata @Ngimanene-Na-matharo with all his education, Antivax and woke status will still be in this kind of church entanglement and he can’t help himself.

5 Likes

Kweli Wakenya hawawezi saidika. This man kept them there hungry, so they can buy from him mandazi na mkate. Well, akili ni zao, pia tumbo ni zao.

2 Likes

You can sense the resentment in hi hyena like laugh

3 Likes

Wacha matusi wewe. General ni mtu ako na bidii sana na yeye huearn pesa yake kwa jasho yake.

io entertainment anapea watu na 200 bob, kwa Churchill Show bila 1000 huezi ingia, na huko kwa Churchill hakuna jokes za maana.

Watu wa miaka 70 kwenda juu, wengi wao ni liability kwa serikali na family zao, lakini nganga ako kesha saa nane usiku akijitafutia

3 Likes

I thonk people go there for the entertainment

3 Likes

What entertainment? Hizo ni upuzi tu

3 Likes

There is a willing audience for that kind of show, the ones who go there

1 Like

Am sure the devil comes to Kenya for new ideas and comedy.

1 Like