Gazeti la mchumia tumbo linasema....

[ATTACH=full]176593[/ATTACH]

Msiba anamsaidia jiwe

Hivi tulitegemea hilo jarida litaandika nini wakuu?

Haliwezi likaandika kinyume na hapo.

Mh! Haya yetu macho
Nalog off

Karatasi nyingine miti yake bora ingebakia bila ya kukatwa kuliko kutengenezwa Karatasi zinazotumika kuandikia ujinga uliopitiliza unaoharibu mbongo za watanzania.

Kichaaaaa

Aisee!

Musiba mwenyewe ni Zero Brain yaani Taulo na Pombe ndio tayari bajeti ishakomboa wananchi? Vipi kwa mabo sio walevi? Vipi kwa wasiotumia taulo na wanaume? Bashite na Kundi la marafiki zake waote akili zile zile za Zero Brain,Mwangalie Le Mutuz,Mwangalie Jenny Muro wote akili sawa,huko mbeleni Jembe ni Jembe na Davis Mosha wakiunga urafiki na BASHITE kupitia Le Mpipaz lazima nao watakuja kuiwa MAZERO brain in the making.

Huyo Musiba ni msiba wa Taifa kabisa kuna siku alijifanya mwandishi wa habari akaingia bungeni walivyomtoa kibaka kasingiziwa. Davis hawezi kuendeshwa na huyo Bashite hips kabisa… huyo size yake ni lekiba100 na huyo Jenny Muro