ati naskia watu wa magatheti walihamia wapi?? :(:(:(:( husikii ii story haileti shangwe kukosa gatheti
SAMUEL MUIGAI WA PARE KARAMTONI …Learn to be anonymous
Am anonymous, kindly hook up me with the latest GATHETI link,
Nimeskia New villagers wanapitia vetting kwanza
i dont mind to vetted and grilled, what are the requirements,when is the vetting process scheduled… senors??
Watu wengine hapa kiherehere ati wanataka kuanza kusambaza magazeti kwa Whaasup ndio wamewafukuza.Fala sana
Naomba niwe vetted, hizo gazeti zimenisort
iko hivi, send ur telegram username inbox, ul be sent a google link that will be updated daily na gathetis. Save that link to your desktop and share with whoever you want.
All this is courtesy of @highschooler and @mandella.
Hatulipii gatheti, umeskia kimtu wa radio @Electronics4u
Lakini nyinyi new villagers need to earn your keep.
wee Mboss? ati tuntuma telgram kwa nani ? nimeumia sana bila gathethi , hii ni thuluma… sisi mashabik tunaumia